Back to home
Raila Odinga Junior apewa uongozi wa familia ya Raila Odinga katika hafla ya Opoda, Bondo
video
C
Citizen TV (Youtube)October 23, 2025
23h ago
Raila Odinga Junior leo amepewa uongozi wa familia ya Raila Odinga katika hafla maalum iliyofanyika katika shamba la Opoda huko Bondo. Junior alikabidhiwa ala za uongozi ukiwemo mkuki na ngao katika hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbali mbali. Hata hivyo, familia hiyo imebaini k





![SHAJARA | Wasanii wamtungia nyimbo hayati Raila Odinga [Part 4]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/SHAJARA-Wasanii-wa_1761301136-16x9.jpg)