Back to home
Wakaazi walalamikia kuongezeka kwa popo eneo la Kimilili
video
C
Citizen TV (Youtube)October 24, 2025
9h ago
Wakazi wanaoishi karibu na hospitali ya kaunti ndogo ya Kimilili na karibu na mahakama ya Kimilili wamelalamikia kuwepo kwa popo wengi maeneo hayo, wakisema kero hiyo si tu tishio kwa mazingira bali ni tishio kwa afya yao wakiitaka idara husika kutumia mbinu zozote kuwaondoa popo



