Back to home

Kamati ya seneti yazua masuali kuhusu hali ya afya katika kaunti ya Makueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 24, 2025
1w ago
Kamati ya afya katika bunge la seneti imezuru kaunti ya Makueni na kuibua maswala kadhaa wanayotaka yaangaziwe kwani yanalemza utoaji wa huduma za afya. Kati ya masuala yalioibuliwa ni pamoja na hospitali ya rufaa ya Makueni na ile ya Mukuyuni kutokuwa na mahala salama pa kuchome