Back to home

Kupungua kwa samaki kumewatia motisha kina mama kuwa wavuvi Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 27, 2025
1d ago
Kupungua kwa idadi ya samaki katika Ziwa Victoria kumesababisha migogoro sio tu baina ya wavuvi bali pia kati ya asasi za usalama kutoka nchi jirani. Hali hii sasa ikisababisha kina mama pia kujitosa katika uvuvi, jambo ambalo linakisiwa kuwa kinyume na itikadi za jamii ya Dholuo