Back to home

Taharuki yatanda kufuatia mauaji ya watu wanne Pokot Magharibi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 29, 2025
5d ago
Taharuki imetanda katika kaunti ya Pokot Magharibi baada ya watu wanne kuuawa kwa kupigwa risasi ndani ya kipindi cha siku tatu. Hali hiyo imezua hofu miongoni mwa wakazi, huku viongozi wa eneo hilo wakitaka kikosi cha polisi kuimarisha doria na msako mkali dhidi ya wanaochochea