Back to home
Ruto atangaza msaada wa shilingi milioni 18 kwa waathiriwa wa ghasia za 2007 Lanet
video
C
Citizen TV (Youtube)October 29, 2025
3h ago
Rais William Ruto ametangaza kutoa shilingi milioni 18 kusaidia familia za wakimbizi wa ndani walioathirika na ghasia za uchaguzi wa mwaka wa 2007 eneo la Lanet kaunti ya Nakuru. Familia 900 zikitarajiwa kufaidi mgao huu ili kuwasaidia kuanza upya maisha yao. Aidha rais Ruto amet




