Back to home
Wizara ya usalama yaimarisha vita dhdi ya ulanguzi wa dawa za kulevya
video
C
Citizen TV (Youtube)October 30, 2025
6h ago
Serikali inasema imeweka mikakati kabambe ya kupambana na ulanguzi wa mihadarati nchini kwa kuimarisha usalama mipakani. Katibu wa usalama Dkt Raymond Omollo anazungumza sasa baada ya mkutano na wakuu wa usalama mombasa.




