Back to home
Baadhi ya viongozi wa Magharibi wazuru kaburi la Raila
video
C
Citizen TV (Youtube)October 30, 2025
4h ago
Baadhi ya viongozi kutoka kaunti za Magharibi mwa Kenya, pamoja na Rais wa zamani wa Ghana, Nana Akufo-Addo, walizuru boma la hayati Raila Odinga ili kutoa heshima zao za mwisho.




