Back to home
Wamiliki wa mikahawa jijini Nairobi wajiandaa huku msimu wa sikukuu ukibisha hodi
video
N
NTV Kenya (Youtube)October 30, 2025
3h ago
Huku msimu wa sikukuu ukianza kubisha hodi wamiliki wa mikahawa jijini Nairobi wameanza kujiandaa wengi wakiionyesha nia njema ya kutarajia idadi kubwa ya watalii kutokana na utulivu ambao umeshidiwa nchini.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and every




