Back to home

Fred Matiang’i ateuliwa rasmi kuwa mgombea urais wa Jubilee 2027, pia kuwa mmoja wa manaibu vinara

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 30, 2025
5h ago
Baraza kuu la uongozi la chama cha Jubilee limemuidhinisha aliyekuwa waziri wa usalama, Fred Matiang’i, kuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi wa mwaka 2027. Mkutano huo ulipokea rasmi na kuidhinisha ombi lake la kuwania kiti cha urais kama mgombea wa chama hicho. Ki