Back to home

Polisi wanawasaka wezi wa bunduki mbili na risasi Thika

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 31, 2025
7h ago
Polisi kutoka kituo cha Polisi cha Maguguni katika eneo la Thika Mashariki, Kaunti ya Kiambu, wameanzisha msako mkali baada ya bunduki mbili na risasi kuibwa kutoka Kituo Kidogo cha Polisi cha Maguguni, ambacho kiko chini ya Kituo Kikuu cha Polisi cha Ngoliba.