Back to home

Watu wadanganywa kwenye utapeli wa usajili wa SHA

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 2, 2025
11h ago
Visa zaidi vya ulaghai wa watu waliojidai kuwa maafisa wa bima ya Afya ya SHA vimeendelea kuripotiwa huku watu wawili zaidi katika eneo la Subukia kaunti ya Nakuru wakisimulia masaibu yao. Lucy Gikonyo na Ezekiel Mwangi wakiwa wa punde kuripoti kupoteza maelfu kwa kuahidiwa kwa u