Back to home

Viboko wasumbua wakazi wa Alungo, waharibu mashamba

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 3, 2025
8h ago
Wanakijiji wa Alungo kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara baada ya viboko kuvamia mashamba yao. Wamakijiji hao wanasema kuwa viboko hao ambao hujitokeza usiku wameongezeka msimu huu wa mvua na sasa wanahofia kuwa huenda wakavamia binadamu. wakazi hao sasa wamelazimika kukesha kul