Back to home

Wanakijiji wavamia familia inayodaiwa kusababisha kifo cha mzee Nyamira

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 4, 2025
5h ago
Jamaa za familia moja kutoka kijiji cha Nyakongo kaunti ndogo ya Nyamira Kaskazini wamelazimika kukimbilia usalama wao, baada ya wanakijiji wenye ghadhabu kuvamia boma lao na kuteketeza nyumba zaidi ya nne kabla kufyeka mimiea yote shambani.