Back to home
Dini ya roho mafuta pole ya afrika ilipata sifa miaka ya 1940
video
C
Citizen TV (Youtube)November 5, 2025
3h ago
Dini ya Roho Mafuta Pole ya Afrika ilijipatia sifa kubwa miaka ya 1940, lakini mwanga huo ulizimwa na serikali ya mkoloni baada ya kupigwa marufuku kutokana na mauaji ya halaiki ya Kolowa, Baringo, matukio yaliyotokea wakati wa harakati za kupigania uhuru wa Taifa hili. Miaka 13









