Back to home

Ripoti ya Umoja wa Afrika yasema uchaguzi wa Tanzania haukuwa huru wala wa haki

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 6, 2025
3h ago
Wachunguzi wa Muungano wa Umoja wa Afrika sasa wanasema kuwa uchaguzi wa Tanzania haukuwa wa huru na haki. Ripoti ya Umoja huu wa AU ikisema kuwa, uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu uliompa rais Samia Suluhu ushindi mkubwa. Ripoti inaangazia kesi za kujaza madebe ya kura, kuzi
Ripoti ya Umoja wa Afrika yasema uchaguzi wa Tanzania haukuwa huru wala wa haki (Video)