Back to home
Mradi wa maji Kilifi na Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 7, 2025
2h ago
Serikali inaendeleza ujenzi wa kituo Cha kuzalisha umeme kupitia miale ya Jua kule Baricho, kaunti ndogo ya Malindi ili kutatua changamoto za uhaba wa maji unaoshuhudiwa mara Kwa mara katika kaunti za Kilifi na Mombasa.





