Back to home
Waziri Julius Ogamba asema visa 19 vya udanganyifu wa mtihani vimeripotiwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 7, 2025
4h ago
Waziri wa Elimu Julius Ogamba ametangaza kuwa visa 19 vya udanganyifu wa mtihani vimeripotiwa rasmi katika maeneo ya Nyanza, Bonde la Ufa, na Mashariki mwa nchi kufikia tarehe 6 Novemba mwaka 2025.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as t




