Back to home

Mawaziri wa afya kutoka kaunti zote 47 wakongamana hapa jijini Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 7, 2025
3h ago
Mawaziri wa afya kutoka kaunti zote 47 wanakongamana hapa jijini Nairobi, kwa kikao cha siku mbili cha kila mwaka kupiga msasa na kutathmini ufanisi na changamoto za serikali za kaunti za sekta ya afya.