Back to home

Timu ya taifa ya taekwondo ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 iko tayari

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 7, 2025
2h ago
Timu ya taifa ya taekwondo ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 iko jijini Kampala Uganda iko tayari kushiriki mashindano ya kuwania kombe la balozi wa korea kusini awamu ya uganda tarehe 8 na 9 mwezi huu wa novemba.