Back to home

Sudan yatangaza vifo vya watu 2,500 Darfur, yataka Umoja wa Mataifa na AU waingilie kurejesha amani

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 7, 2025
6h ago
Jamhuri ya Sudan imetangaza kwamba kufikia sasa watu 2,500 wameuwawa katika mji wa El Fashir eneo la Darfur. Naibu balozi wa nchi hiyo Muhammad Akasha Osman amesema kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka kutokana na taharuki inayoendelea tangu kundi la Rappid Support Forces -RSF ku