Back to home
Serikali yakanusha madai ya ongezeko la ada za shule za bweni kuanzia Januari
video
C
Citizen TV (Youtube)November 7, 2025
6h ago
Serikali imekanusha madai ya ongezeko la ada ya shule za bweni kwa Shule za Sekondari ya Juu kuanzia Januari mwaka ujao. Akizungumza mjini Machakos waziri wa Elimu, Julius Migos Ogamba, alikanusha ripoti iliyotolewa mapema wiki hii kuhusu swala hilo akisisitiza hakuna taarifa mpy





