Back to home
Wakazi wa Kihoto waishi kwa hofu baada ya Ziwa Naivasha kufurika na kusababisha mafuriko makubwa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 8, 2025
2h ago
Maelfu ya wakaazi wa Kihoto mjini Naivasha kaunti ya Nakuru wanaishi kwa hofu na wasiwasi kutokana na mafuriko yaliosababishwa na kufurika kwa Ziwa Naivasha. Baadhi yao wamelazimika kuhama huku wengi wakilemewa na gharama ya kutafuta makao mbadala



