Back to home

Hatimaye wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo waachiwa huru baada ya siku 38 za mateso Uganda

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 8, 2025
2h ago
Hatimaye Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wameachiliwa huru, siku 38 baada ya kutekwa nyara nchini Uganda wakisema walizuiliwa na jeshi la nchi hiyo kwa muda huo wote. Wakizungumza muda mfupi baada ya kuwasili jijini Nairobi, Njagi na Oyoo wanasema waliteswa mikononi mwa k