Back to home

Kesi ya Brian Odhiambo yaendelea Nakuru kwa ushahidi zaidi

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 10, 2025
2h ago
Kesi dhidi ya maafisa sita wa shirika la huduma kwa wanyamapori KWS wanaotuhumiwa kwa kupotea kwa mvuvi Brian Odhiambo mjini Nakuru imeendelea leo ambapo mashahidi watatu walikuwa kizimbani. Watatu hao waliielezea mahakama jinsi walimuona Brian kwa mara ya mwisho akiwa mikononi w