Back to home
Serikali ya kuanti ya Makueni yazindua sera ya kilimo cha ikolojia
video
C
Citizen TV (Youtube)November 11, 2025
2h ago
Katika harakati za kuongeza uzalishaji wa chakula na kukabiliana na njaa serikali ya Kaunti ya Makueni imezindua rasmi Sera ya Kilimo cha ekolojia , sera ambayo itasaidia kuimarisha kilimo endelevu na kinachoambatana na uhifadhi wa mazingira. Makueni ni miongoni mwa kaunti ya nne





