Back to home
Baadhi ya wakaazi wa Dongo Kundu wadai fidia kutoka kwa serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)November 13, 2025
1h ago
Baadhi ya wakaazi wa Dongo Kundu huko likoni kaunti ya Mombasa wanadai fidia kutoka kwa serikali ili kutoa nafasi ya uwekezaji katika ardhi ya ekari 1000. Kulingana nao, serikali imewanyanyasa na kuafikia fidia duni. Wakazi hao pia wanawalaumu viongozi kwa kukosa kuingilia kati n





