Back to home

Familia za vijana waliosafirishwa Urusi kinyume cha sheria zaomba washirudishwe nyumbani

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 15, 2025
3h ago
Familia za vijana waliosafirishwa hadi nchini urusi kinyume na sheria sasa zinaililia serikali kuwarudisha nchini. Familia hizo zinasema kuwa jamaa zao wanahangaika huku baadhi wakiuwawa na wengine kujeruhiwa kwenye vita vya Urusi na Ukraine.