Back to home
Hoja ya kumtimua Nyaribo yaibuka mara ya tatu Nyamira
video
C
Citizen TV (Youtube)November 17, 2025
3h ago
Kwa mara ya tatu sasa, mchakato wa kumbandua mamlakani Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo umerejea kwenye bunge la kaunti hiyo. Katika kikao maalum mapema leo, mwakilishi Wadi wa Bonyamatuta Julius Matwere amewasilisha hoja akidai Gavana Nyaribo amekuwa akitumia vibaya mamlaka yake n




