Back to home
Seneta maalum wa kaunti ya Mombasa Miraj Abdallah aitaka serikali kukarabati viwanja vya michezo
video
C
Citizen TV (Youtube)November 18, 2025
1h ago
Seneta Maalum wa kaunti ya Mombasa, Miraj Abdallah, ameitaka serikali ya kitaifa kuingilia kati na kukarabati viwanja vya michezo, ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa maeneo ya kufanyia mazoezi na kukuza vipaji miongoni mwa vijana wa kaunti hiyo.





