Back to home

Kaunti ya Bungoma yaweka mikakati ya kukabili ugonjwa wa kichocho

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 20, 2025
2h ago
Kaunti ya bungoma imejizatiti kukabiliana na visa vya maambukizi ya ugonjwa wa kichocho kutokana na kuwepo kwa vyoo vya kutosha katika sehemu za makazi. Takwimu hii ikishabikiwa wakati ulimwengu unapoadhimisha siku ya kimataifa ya choo.