Back to home

Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi asema wakenya 2 wanazuiliwa Tanzania

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 20, 2025
2h ago
Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi amesema ni wakenya wawili pekee ambao bado wanazuiliwa na serikali ya tanzania kufuatia ghasia za uchaguzi nchini humo. Akitoa taarifa bungeni, Mudavadi amesema serikali inawasaidia wakenya hao kupata uhuru wao. Hata hivyo Mudavadi amesema juhudi