Back to home

MASKANI | Hotuba ya Rais kwa taifa [ Part 2]

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 20, 2025
2h ago
Rais William Ruto atahutubia taifa bungeni leo. Hotuba kuangazia mafanikio ya serikali ya Kenya Kwanza. Serikali imeanzisha miradi mingi ukiwemo wa nyumba za bei nafuu. Wakenya wengi walalamika kuhusu hali ngumu ya maisha.