Back to home
'The Equatable Party' yatangaza kuwa na mgombea wao kwenye kinyanganyiro cha urais wa mwaka wa 2027
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 21, 2025
5h ago
Huku vyama mbalimbali vya kisiasa vikiendelea na kampeni ya kuasaka kura za chaguzi ndogo katika maeneo tofauti nchini, chama cha TEP "the Equatable Party" katika kaunti ya Nandi kimetangaza kuwa na mgombea wao kwenye kinyanganyiro cha urais wa mwaka wa 2027.
Subscribe and watc




