Back to home
Hatari ya mchanganyiko wa maji yatanda Baringo na ziwa Bogoria
video
C
Citizen TV (Youtube)November 23, 2025
3w ago
Hofu imegubika jamii zinazoishi maeneo ya Ziwa Baringo na Bogoria, baada ya maji ya maziwa haya kujaa na kuanza kushikana. Wataalam wanaonya hatari kutokana na hali hii ambayo tayari imeanza kusababisha hasara kwa jamii zinazoishi eneo hili.
Advertisement
Advertisement





