Back to home
Susan Nakhumicha asema atawania ugavana Trans Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)November 24, 2025
1w ago
Aliyekuwa Waziri wa Afya ambaye sasa ni Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika shirika la umoja wa mataifa la UN-Habitat, Susan Nakhumicha, amejitosa katika ulingo wa kuwania kiti cha ugavana wa Kaunti ya Trans Nzoia kwenye uchaguzi mkuu ujao.




