Back to home

Shughuli ya ubomoaji wa nyumba zinaendelea huko Makongeni

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 24, 2025
3h ago
Shughuli ya ubomoaji katika mtaa wa Makongeni hapa Nairobi inaendelea huku wakazi wakiondoka shingo upande. Hata hivyo, baadhi ya wakazi wanalalamika kuwa bado hawajapata fidia ya laki moja unusu waliyokuwa wakipewa. Serikali inapania kuendesha mradi wa nyumba katika eneo hili la