Back to home
Wanafunzi wa Kenya kuwakilisha taifa huko Singapore katika mashindano ya kuunda roboti
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
3h ago
Baadhi ya wanafunzi kutoka Kenya waliofuzu kwenye mashindano ya kuunda roboti watawakilisha Kenya katika mashindano ya kimataifa yanayofanyika Singapore.
Maxwell Karanja, mwanafunzi aliyelelewa katika makao ya watoto ya Sprouting Kitengela Kaunti ya Kajiado , ni miongoni mwa wa




