Back to home

Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo abanduliwa na bunge la kaunti kwa tuhuma za utumizi mbaya wa ofisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 26, 2025
14h ago
Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo kwa mara nyingine tena amebanduliwa na bunge la kaunti kwa tuhuma za utumizi mbaya wa ofisi. Wawakilishi wadi 23 kati ya 31 waliunga mkono hoja ya kumbandua mamlakani.