Back to home
Wakenya milioni 7 ni maskini huku tajiri 125 wakimiliki mali sawa na ya wananchi milioni 42
video
C
Citizen TV (Youtube)November 26, 2025
3h ago
Wakenya wengi ni maskini ikilinganishwa na hali ilivyokuwa miaka kumi iliyopita. Ripoti ya shirika la Oxfam ikiashiria tofauti kubwa ya watu matajiri na maskini, ambapo sasa wakenya milioni saba wamejipata kwenye hali ya ufukara kwa muda huo. Ripoti hii iliyotolewa leo pia ikiony





