Back to home

Bradley Omondi kutoka kaunti ya Kakamega ashinda Ksh.500,000 katika shindano la Rubani Challenge

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 28, 2025
3h ago
Bradley Omondi kutoka Kaunti ya Kakamega ameibuka mshindi katika shindano la Rubani Challenge kwenye Shabiki.com, na kujinyakulia shilingi nusu milioni. Omondi alipewa fursa adimu ya kuvinjari eneo la Naivasha. Kwa Hisani ya Shabiki.com ili kusherehekea ushindi Huo.