Back to home
DCP yatamba Kakamega baada ya Dickson Okwiri kushinda kiti cha uwakilishi wadi cha Kisa Mashariki
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 28, 2025
3h ago
Chama cha DCP kinachoongozwa na aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua kimefanikiwa kupata kiti kimoja cha uwakilishi wadi cha Kisa Mashariki baada ya mgombea wao Dickson Adua Okwiri kuzoa kura 1,952.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Ge





