Back to home

Viongozi wa Kirinyaga wataka vituo vya kimbilio vijengwe dhidi ya dhuluma za kijinsia

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 1, 2025
1h ago
Huku Kampeni za Siku 16 za Kupinga ukatili wa kijinsia kote ulimwenguni zikiendelea , viongozi katika kaunti ya Kirinyaga washinikiza serikali kuanzisha vituo vya kuripoti matukio haya kote nchini .