Back to home

Polisi wanachunguza kifo cha kijana aliyerushwa ghorofani

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 1, 2025
2h ago
Polisi katika eneo la kilimani wanachunguza kifo tata cha kijana wa miaka 25 aliyefariki baada ya kurushwa kutoka ghorofa ya juu ya chumba cha malazi wikendi iliyopita. Kijana huyo aliyetambuliwa kama Festus Lee Oromo, anasemekana kuwa na wenzake akiwemo mpenziwe aliyepatana naye