Back to home
Wakazi wa Sironoi, Kimondi na Kapsisiywa huko Nandi walalamikia ujenzi wa barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)December 2, 2025
2h ago
Wakazi wa Sironoi, Kimondi na Kapsisiywa katika kaunti ya Nandi wameitaka serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya Chemuswo–Danger, ambayo imekwama kwa miaka mingi kutokana na kuongezeka kwa maji katika daraja la Sironoi–Kimondi.





