Back to home

ODM yataka makubaliano na serikali kutekeleza ajenda 10

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 2, 2025
2h ago
Viongozi wa odm sasa wanataka serikali kutekeleza kikamilifu ajenda 10 za makubaliano yaliyoafikiwa kati ya marehemu Raila Odinga, na Rais William Ruto. Kinara wa ODM, Dkt. Oburu Oginga amesema maswala yote yalikuwa muhimu na yanahitaji kushughulikiwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.