Back to home
Watetezi wa haki Vocal Africa kuishtaki IEBC na EACC
video
C
Citizen TV (Youtube)December 3, 2025
5h ago
Kundi la kutetea haki za binadamu la Vocal Africa limetishia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya maafisa waliokiuka sheria za uchaguzi. Kundi hilo linasi

