Back to home

Wakazi wasema hawatampisha mwekezaji achimbe dhahabu Ikolomani

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
9h ago
Wenyeji wa Isulu kaunti ya Kakamega wamezua rabsha kupinga mkutano ulioandaliwa na Nema kujadili swala la uchimbaji madini eneo. Aidha watu kadhaa wanadaiwa kupigwa risasa na polisi huku maafisa kadhaa pia wakijeruhiwa.