Back to home

Watu watatu wauawa Ikolomani huku wakazi wakipinga uchimbaji wa dhahabu

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
2mo ago
Taharuki imetanda eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega baada ya watu watatu kuuawa kufuatia makabiliano makali kati ya wakazi na polisi. Maafisa wa usalama na wanahabari walijeruhiwa baada ya wakazi waliojawa na hasira kukatiza shughuli ya kupata maoni ya wananchi kuhusiana

More on this topic

Three People Killed by Police During Gold Mining Protests in Ikolomani - December 2025

Three people have been killed in Ikolomani, Kakamega County, during clashes related to anti-gold mining protests. The individuals were reportedly shot dead by police. The unrest erupted after angry residents disrupted gold mining operations, leading to violent clashes between residents and police. The violence, which also resulted in injuries among security officers and journalists, underscores escalating tensions surrounding resource extraction in the region.

3 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement