Back to home

Gavana wa kakamega Fernandes Barasa awakosoa wanasiasa wenzake kuwatumia vijana kusababisha vurugu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 24, 2026
2h ago
Gavana wa Kakamega Fernandes Barasa awataka wanasiasa kuacha kuwatumia vijana kusababisha vurugu kwenye mikutano ya kisiasa..akizungumza wakati wa mazishi ya mkazi wa kakamega dkt. Lukes kundu huko Mumias West,Barasa asema viongozi wana jukumu la kuwaongoza na kuwafundisha vijana
Advertisement